
Mtangazaji wa Kituo cha Redio nchini Gabon (Redio Gabon) amejiua baada ya kutolipwa mshahara kwa miezi 15
Marius Pierre Foungues alikuwa Mtangazaji wa kipindi cha “Succès du temps passé” kilichokuwa kikirushwa kila siku za Jumapili asubuhi
Mwanahabari huyo alikuwa akikabiliwa na hali ngumu ya maisha ikiwa ni pamoja na matatizo ya kiafya

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni