
Pichani ni Benjamani Mkapa akila kiapo Cha Kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Nigeria Mbele ya Rais Julius Kambarage Nyerere IKULU Jijini Dar Tarehe 18-10-1976,Katikati ni Katibu wa Rais Wakati huo Ndugu Timothy Opiyo.
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni