mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania
blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla
kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumapili, 10 Juni 2018
Klabu ya Yanga SC leo inafanya mkutano wake mkuu wa mwaka
Tayari viongozi mbalimbali wa klabu akiwemo Katibu Mkuu Charles Mkwasa
wameshafika katika Bwalo la Maafisa wa Jeshi la Polisi, Oysterbay. Mgeni
rasmi ni Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk. Harrison
Mwakyembe.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni