Miongoni mwa waliofariki kulikuwa na watoto watatu na watu wazima 16, taarifa kutoka kwa maafisa wa polisi ilisema.
“Timu ya uokoaji wanafanya kazi bila kuchoka ili kuwaokoa majeruhi na kuwapeleka katika hospitali ya Kiryandongo,” taarifa hiyo ambayo iliyotolewa na msemaji wa polisi, Emilian Kayima, ilisema.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni