
Mahakama nchini Marekani imeiamuru kampuni ya Samsung kuilipa fidia kampuni ya Apple dola 533 millioni (sawa na Sh1.2 trilioni) baada ya Samsung kukutwa na hatia ya 'kukopi' kazi za ubunifu za Apple. Kesi hiyo ilifunguliwa miaka saba iliyopita.
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni