mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania
blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla
kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumatano, 23 Mei 2018
Mshindi wa Ballon d'Or mwaka 1999, Rivaldo amshauri Neymar Jr
Mshindi wa Ballon d'Or mwaka 1999, Rivaldo amemshauri mshambuliaji,
Neymar Jr kujiunga na Real Madrid au ligi ya England ili aongeze
uwezekano wa kupata nafasi ya kutwaa Ballon d' Or - tuzo ya mchezaji
bora wa dunia.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni