Tangazo hilo lilitolewa na Mwanasheria Mkuu wa jimbo hilo Mike Hunter katika mkutano wa Waandishi wa Habari ambapo alieleza kuwa njia hiyo ya gesi ya nitrogen ni bora zaidi kwani ni rahisi kupatikana na hupelekea kifo kisicho cha maumivu.
Inaelezwa kuwa adhabu hiyo ya kifo ilisimama kwa kipindi cha miaka mitatu kutokana na njia iliyokuwa ikitumika ya sindano ya sumu kushindwa kuendelea kutokana na kutopatikana sindano hizo, na hii ni kwasababu watengenezaji walikataa kuziuza kwa matumizi ya kuua wafungwa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni