Simba kupitia kwa Haji Manara imetangaza kuwa beki wao Salum Mbonde na golikipa wao Said Nduda baada ya kuwa majeruhi kwa sasa wameanza mazoezi mepesi mepesi na tayari wapo kambini na timu.
Kwa upande wa Haruna Niyonzima wametangaza kuwa ndani ya siku mbili hizi watampeka India kwenda kufanyiwa upasuaji mdogo baada ya kugundulika kuwa ufa katika mfupa mdogo wa mguu, upasuaji wa Niyonzima utamuweka nje kwa wiki mbili hadi tatu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni