Historia inaonyesha kuwa United mara kadhaa inapokutana na Yovil imekuwa ikifanya vizuri .
Mchezo mwingine wa michuano hiyo ni unaotarajiwa kupigwa hii leo ni timu ya Shifeld Wednesday itakuwa nyumbani kuikabili Reading huku Liverpool watakuwa wakicheza dhidi ya West Bromwich hapo kesho siku ya Jumamosi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni