Wilder ataingia ulingoni kutetea mkanda wake wa WBC uzito wa juu dhidi ya Mcuba asiyepigika,Luis Ortiz huko Barclays Center, Brooklyn.
Na endapo atafanikiwa kuurudisha mkanda huo atakuwa sehemu ya watu watakao hudhuria pambano kubwa na la kihistoria kati ya Anthony Joshua dhidi ya Joseph Parker utakaofanyika machi 31 huko Cardiff.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni