“Asikwambie Mtu Kuigiza Raha bwaaana… Sema ndo uwe unajua sasa…. Sio tu unaigiza ili mradi…. Afu pia ujue kuitendea haki character yako… Maana ukishakaa mbele ya Camera unasahau kabisa kama wewe ni Wema Sepetu sijui Tz Sweetheart… Unaweka pembeni na unavaa uhusika wako unaotakiwa…. Sidhani kama nimewahi kuwaangusha… Tanzama best short Film kiganjani kwa kutumia simu popote ulipo kutana na @gabozigamba1@wemasepetu @millardyayo ndani ya #kisogoWawili hao kwa sasa wanafanya kazi kwa ubaribu zaidi baada ya miezi kadhaa iliyopita kuweka wazi ujio wa filamu yao ya pamoja itwaayo, ‘Heaven Sent’.
Dondosha App ya Uhondo tv bureee. Mwaka Huu Mbona Kama Kuna Raha Nyingi.” aliandika Instagram.
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumapili, 11 Juni 2017
‘Kisogo’ ya Wema na Gabo kutua kiganjani (Video)
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni