Jumapili, 11 Juni 2017

‘Kisogo’ ya Wema na Gabo kutua kiganjani (Video)




“Asikwambie Mtu Kuigiza Raha bwaaana… Sema ndo uwe unajua sasa…. Sio tu unaigiza ili mradi…. Afu pia ujue kuitendea haki character yako… Maana ukishakaa mbele ya Camera unasahau kabisa kama wewe ni Wema Sepetu sijui Tz Sweetheart… Unaweka pembeni na unavaa uhusika wako unaotakiwa…. Sidhani kama nimewahi kuwaangusha… Tanzama best short Film kiganjani kwa kutumia simu popote ulipo kutana na @gabozigamba1@wemasepetu @millardyayo ndani ya #kisogo
Dondosha App ya Uhondo tv bureee. Mwaka Huu Mbona Kama Kuna Raha Nyingi.” aliandika Instagram.
Wawili hao kwa sasa wanafanya kazi kwa ubaribu zaidi baada ya miezi kadhaa iliyopita kuweka wazi ujio wa filamu yao ya pamoja itwaayo, ‘Heaven Sent’.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni