Jumapili, 11 Juni 2017

Darassa kutamba mbele ya mashabiki 20,000 wa SportPesa Super Cup



Msanii wa muziki wa hip hop, Darassa aliyetamba na ngoma ya ‘Muziki’ anatarajiwa kutumbuiza Jumapili hii katika mechi ya fainali ya michuano ya SportPesa Super Cup katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam ambao unachukua zaidi ya mashabiki 20,000.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni