Michuano ya club Bingwa Afrika Mashariki na kati imezinduliwa
leo na kutangazwa kwa ratiba kamili ya michuano hiyo, katibu mkuu wa
chama cha soka Afrika Mashariki na kati CECAFA Nicolaos Musonye na Rais
wa TFF Wallace Karia kwa pamoja wametangaza uwepo wa michuano hiyo 2018.

Ratiba ya michuano yote ya Kagame Cup
Michuano hiyo itachezwa kwa kutumia viwanja viwili vya Chamazi na
uwanja wa Taifa, makundi yakiwa matatu na wapinzani wa jadi Simba na
Yanga wamepangwa Kundi C na timu za St George ya Ethiopia na Dakadaha ya
Somalia.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni