Ettiene amesaini mkataba huo Ijumaa hii kwenye ofisi ya Meya wa Manispaa ya Kinondoni Benjamin Sitta zilizopo Jijini Dar es Salaam.
Mapema mwezi April mwaka huu kocha huyo alitajwa kutakiwa na Yanga kwa ajili ya kurithi mikoba ya George Lwandamina lakini dili hilo lilionekana kupotelea hewani.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni