mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania
blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla
kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumapili, 27 Mei 2018
UDHAMINI WA RWANDA KWA ARSENAL WAIKERA UHOLANZI:
Bunge
la Uholanzi limekerwa na udhamini wa Rwanda kwa klabu ya Arsenal ya
Uingereza kwa kudai "Inakuwaje nchi inayopokea misaada mingi kwaajili ya
kumaliza umasikini inaingia mkataba ghali kiasi kile?"
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni