Mshambuliaji
na nahodha wa timu ya taifa ya Misri, Mohamed Salah anapaswa kusubiri
majibu ya madaktari kujua iwapo ataweza kushiriki michuano ya Kombe la
Dunia.
Hilo limetokana na kuumia bega kwenye mchezo wa fainali wa UEFA Champions League dhidi ya Real Madrid C.F. ambapo alilazimika kutolewa kwenye dakika ya 30 na kushuhudia Livepool ikibugizwa mabao 3-1.
Hilo limetokana na kuumia bega kwenye mchezo wa fainali wa UEFA Champions League dhidi ya Real Madrid C.F. ambapo alilazimika kutolewa kwenye dakika ya 30 na kushuhudia Livepool ikibugizwa mabao 3-1.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni