IGP Sirro amekutana na Fatma aliyefika Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kwa lengo la kujitambulisha tangu alipochaguliwa kuongoza Chama hicho ambapo pia walijadiliana masuala kadhaa ya kisheria.
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumanne, 22 Mei 2018
Picha: Rais wa TLS, Fatma Karume akutana na kufanya majadiliano na IGP Sirro
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini(IGP), Simon Sirro amekutana na kufanya
mazungumzo na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Fatma
Karume.

IGP Sirro amekutana na Fatma aliyefika Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kwa lengo la kujitambulisha tangu alipochaguliwa kuongoza Chama hicho ambapo pia walijadiliana masuala kadhaa ya kisheria.


IGP Sirro amekutana na Fatma aliyefika Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kwa lengo la kujitambulisha tangu alipochaguliwa kuongoza Chama hicho ambapo pia walijadiliana masuala kadhaa ya kisheria.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni