Jumanne, 22 Mei 2018

MWIGULU AINANGA SIMBA "KIANA" BUNGEN

Related image

 Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba amempiga kijembe Spika Job Ndugai ambaye ni shabiki wa Simba kuwa hakumuona uwanjani wakati timu yake ikifungwa 1-0 na Kagera Sugar na kuongeza kuwa kama isingelikuwa uwepo wa Rais John Magufuli basi viti vingeng'olewa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni