Hata hivyo wengine wamesema Mwanafunzi huyo alijiingiza katika mchezo wa kamari maarufu kama Betting na kitendo cha kuliwa inawezekana ikawa ndio sababu.
Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya Mussa Taibu amesema ni kweli amejinyonga kwa kutumia kanga chumbani kwake na aliyegundua kuwa kajinyonga ni Baba mwenye nyumba.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni