Alhamisi, 24 Mei 2018

ajali. gari yagonga treni jimbo la mlimba

Image may contain: sky, car, tree, outdoor and nature



  
gari aina ya toyota land cruser  yenye namba za usajili SU 33397 limeigonga garimoshi  katika kijiji cha kalengakelu  mkoani morogoro , halmashauri ya wilaya kilombero  katika mji mdogo wa mlimba.

wakizungumza na  mwandishi wa mwana wa liganga blogspot.com  baadhi ya mashuhuda  wa ajali hiyo wamesema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa  dereva wa gari  toyota land crusser  kuto simama katika eneo la  kupishania
crossing .hakunamtu  aliyepoteza maisha katika  ajali hiyo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni