Spika wa Bunge, Job Ndugai akiongoza kikao cha pamoja kati ya Wajumbe
wa Kamati ya Uongozi na Wajumbe wa Tume ya Utumishi Ofisi ya Bunge
kilichokutana kujadili taratibu za mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo
la Buyungu (CHADEMA), Marehemu Kasuku Bilago aliyefariki jana katika
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 27 Mei, 2018 katika Ofisi za Bunge Jijini Dodomamwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni