Jumapili, 27 Mei 2018

a Wajumbe wa Kamati ya Uongozi na Wajumbe wa Tume ya Utumishi Ofisi ya Bunge kilichokutana kujadili taratibu za mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Buyungu (CHADEMA), Marehemu Kasuku Bilago aliyefariki jana


Spika wa Bunge, Job Ndugai akiongoza kikao cha pamoja kati ya Wajumbe wa Kamati ya Uongozi na Wajumbe wa Tume ya Utumishi Ofisi ya Bunge kilichokutana kujadili taratibu za mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Buyungu (CHADEMA), Marehemu Kasuku Bilago aliyefariki jana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 27 Mei, 2018 katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni