mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumanne, 6 Machi 2018
Yanga wamtangaza Waziri Mwakyembe kuwa mgeni rasmi mechi ya Leo
Uongozi wa klabu ya Yanga umemtangaza Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo kuwa mgeni rasmi wa mechi ya leo dhidi ya Township Rollers ya Botswana.
Yanga wanacheza dhidi ya Wabotswana hao jioni ya leo katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kuanzia saa 10 kamili jioni.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni