Aliyewahi
kuwa mbunge wa Kigoma Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), na Mwenyekiti mstaafu wa CCM mkoa wa Kigoma, Dkt. Amani
Kabourou amefariki dunia leo asubuhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili
jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni