Rais Magufuli ameagiza mashamba yaliyonyang'anywa yakabidhiwe kwa wananchi.
"Nilishasema mashamba yote yanayofutwa, wapewe wananchi bure, ni mali
yao, walidhulumiwa tangu zamani kwa wakubwa fulani fulani
kujimilikisha". Amesema Rais Magufuli.mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni