Aidha yameelezwa leo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata ya Vwawa.
Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya hiyo alipoulizwa na Muungwana blog kuthibitisha tukio hilo amesema ni kweli, lakini hawezi kuelezea kwa undani kwakua yupo kwenye kikao.
"Ni kweli lakini siwezi kueleza kiundani, nipo kwenye kikao hivyo nitafute kesho asubuhi" Palingo




Hakuna maoni:
Chapisha Maoni