Ijumaa, 9 Machi 2018

MKUTANO WA KIHISTORIA KATIKA SIASA - KARNE YA 21:

Image may contain: 2 people, people smiling, people standing

 Rais wa Marekani, Donald Trump amekubali mualiko wa kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un wa kufanya mkutano maalum.
Ingawa inaaminika kuwa mkutano huo utazungumzia masuala ya nyuklia lakini bado haiko wazi kile ambacho hasa Kim anataka kuzungumza na "hasimu wake", Trump.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni