Mhifadhi Mkuu wa hifadhi hiyo William Mwakilema amethibitisha kupata
taarifa ya tukio hilo leo Machi 16,na kusema kuwa katika ajali hiyo
hakuna majeruhi wala vifo,na kuwa abiria wote wako juu ya basi.
Jitihada za kuwaokoa mmoja mmoja zinaendelea.Baada ya basi hilo kusombwa na maji abiria wote walitokea juu ya madirisha ya basi na kukaa juu yake,kwani halikuzama lote,jitihada za kuwaokoa zimefanyika ili kuwaokoa..
Jitihada za kuwaokoa mmoja mmoja zinaendelea.Baada ya basi hilo kusombwa na maji abiria wote walitokea juu ya madirisha ya basi na kukaa juu yake,kwani halikuzama lote,jitihada za kuwaokoa zimefanyika ili kuwaokoa..
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni