Jumatano, 14 Machi 2018

ATHARI YA MVUA MOROGORO

Image may contain: sky, tree, house, outdoor, nature and water

 Hii ndio hali inavyoonekana katika baadhi ya maeneo ya Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro ambako nyumba zimebomolewa, maghala ya kuhifadhia mazao yameingiliwa na maji, na miundo mbinu ya barabara kuharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani humo.




Image may contain: sky, outdoor, nature and water








Hakuna maoni:

Chapisha Maoni