mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumamosi, 3 Machi 2018
Aliyegundua Madini ya Tanzanite anaomba kukutana na Rais Magufuli
Hata hivyo, Mgunduzi wa madini hayo ya Tanzanite Mzee Jumanne Ngoma amesema kuwa licha ya kugundua madini hayo miaka 52 iliyopita bado hakuna alichonufaika nacho.
Mzee Ngoma amesema kuwa anatamani kuonana na Rais John Magufuli ili amueleze adha anayokutana nayo kwa sababu anaumia kuona hathaminiwi wala kunufaika na chochote licha ya ugunduzi alioufanya.
“Nina mengi ya kumwambia Rais Magufuli kuhusu madini yaliyopo Tanzania mengine ni siri ya nchi siwezi kuyaweka hadharani,” -Mzee Ngoma
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni