Jumatatu, 12 Machi 2018

AJALI YA NDEGE

Image may contain: one or more people and outdoor

Watu 40 wamethibitishwa kufariki dunia na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa kwenye ajali ya ndege ya Shirika la US-Bangla Airline iliyoanguka kwenye mji wa Kithmandu nchini Nepal.
Ajali hiyo imetokea muda mfupi uliopita.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni