Jumatatu, 19 Februari 2018

#VPL MSIMAMO: Baada ya mechi sita za raundi ya 19, msimamo wa ligi unaonesha Tanzania Prisons imepanda hadi nafasi ya tano ikiishusha Mtibwa Sugar hadi nafasi ya sita, huku Ruvu Shooting 'Wazee wa kupapasa' wakizidi kuchanja mbunga hadi nafasi ya saba. Michezo iliyosalia kukamilisha raundi hii ni:- Simba vs Mbao, Ndanda vs Yanga.

No automatic alt text available.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni