Ametolea mfano Mkoa wa Kigoma ambapo wananchi hulazimika kutembea zaidi ya kilomita 400 hadi Tabora ilipo Mahakama Kuu baada ya rufaa mkoani Kigoma ambapo wananchi wengi hushindwa kumudu gharama za usafiri, chakula na malazi na hivyo hukata tamaa na kupoteza haki zao.
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumanne, 27 Februari 2018
UCHACHE WA MAHAKAMA:
Ametolea mfano Mkoa wa Kigoma ambapo wananchi hulazimika kutembea zaidi ya kilomita 400 hadi Tabora ilipo Mahakama Kuu baada ya rufaa mkoani Kigoma ambapo wananchi wengi hushindwa kumudu gharama za usafiri, chakula na malazi na hivyo hukata tamaa na kupoteza haki zao.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni