Jumanne, 20 Februari 2018

simba yawapiga Gendarmerie 1-0 okwi atupia



Katika mechi ya kwanza kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Simba ilishinda kwa mabao 4-0.

Bao la leo la Simba lilifungwa na  Emmanuel Okwi, Simba ikiwa imekianza kipindi cha pili kwa kasi kubwa.

Mechi hiyo ilikwenda mapumziko kwa sare ya bila bao huku Gendamarie wakipoteza nafasi moja ya kufunga na Simba wakipoteza tatu ikiwemo ya Okwi aliyekuwa nahodha katika mchezo wa leo.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni