Baada ya kumalizika kwa kikao cha Baraza la Madiwani, Jeshi la Polisi Arusha limemshikilia Diwani wa Kata ya Daraja Mbili Prosper Msofe kwa madai ya kukutwa na Nyaraka za siri za serikali.
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumatatu, 5 Februari 2018
Polisi walivyomchukua Diwani wa CHADEMA Arusha
Baada ya kumalizika kwa kikao cha Baraza la Madiwani, Jeshi la Polisi Arusha limemshikilia Diwani wa Kata ya Daraja Mbili Prosper Msofe kwa madai ya kukutwa na Nyaraka za siri za serikali.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni