Kesi hiyo namba 35 ya mwaka 2018 ya kosa la jinai iliyowasilishwa mahakamani hapo ilianza kusikilizwa jana na hakimu huyo amesema, ametupilia mbali ombi hilo kutokana na kosa lenyewe sambamba na sababu za maombi hayo kukosa nguvu.
Amesema, amefikia uamuzi huo kwa ajili ya kuhofia usalama wa mshtakiwa, kutokana na jamii kuchoshwa na vitendo hivyo vilivyokidhiri ambapo huenda wananchi wanaweza kujichukulia sheria mkononi.
Kesi hiyo itasikilizwa tena Machi 13, mwaka huu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni