mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania
blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla
kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Ijumaa, 26 Januari 2018
reaking News: Tido Mhando afikishwa kizimbani Leo
ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Tido
Mhando amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar leo kwa
tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka wakati akiwa TBC.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni