Jumanne, 23 Januari 2018

Patashika ya michuano ya mataifa Africa kwa wachezaji wanaocheza Ligi za ndani (CHAN)


atashika ya michuano ya mataifa Africa kwa wachezaji wanaocheza Ligi za ndani (CHAN) kuendelea kupigwa leo Jumanne, kwa mechi mbili kupigwa na zote utazishuhudia Kupitia #ZBC2
Rwanda, Libya na Nigeria wote wana nafasi ya kufuzu kwenda robo fainali yeyote atakaepata ushindi leo anakwenda robo fainali, Je unadhani nani na nani watafuzu?



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni