Congo ameshafuzu kucheza robo fainali, Angola anahitaji pointi moja ili aweze kufuzu hatua ya robo fainali, Angola wameapa kwenda robo fainali na Congo wameapa kulinda heshima.
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumatano, 24 Januari 2018
Patashika ya michuano ya CHAN kuendelea kushika kasi nchini Morocco na leo mechi za Kundi D kupigwa.
Congo ameshafuzu kucheza robo fainali, Angola anahitaji pointi moja ili aweze kufuzu hatua ya robo fainali, Angola wameapa kwenda robo fainali na Congo wameapa kulinda heshima.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni