Ni nyumba
namba 8115 kwenye Mtaa wa Vilakazi Orlando West kwenye Jiji la
Johannesburg ndiko utapoikuta nyumba aliyowahi kuishi Kiongozi maarufu
wa Afrika Kusini Nelson Mandela ambayo sasa imegeuzwa kuwa Makumbusho.
Mzee Nelson Mandela aliishi hapa kwa zaidi ya miaka 40 yeye na Familia yake ambapo ndani ya nyumba hii kuna kitanda alichokua akikitumia pamoja na kumbukumbu nyingine nyingi zinazomuhusu.







Mzee Nelson Mandela aliishi hapa kwa zaidi ya miaka 40 yeye na Familia yake ambapo ndani ya nyumba hii kuna kitanda alichokua akikitumia pamoja na kumbukumbu nyingine nyingi zinazomuhusu.
Wageni wakiwa eneo la nyuma ya nyumba hiyo
Mtaani, unaoonekana kulia ni uzio unaozunguka nyumba hii
Nje ya nyumba hiyo ya Makumbusho… mbele kushoto ndipo watu wanapoingilia
Baadhi ya vitu unavyoweza kununua kwenye nyumba hii ya Makumbusho
chanzo
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni