Alhamisi, 25 Januari 2018

MKUTANO DAVOS


Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye yuko nchini Uswisi kushiriki Mkutano wa Baraza la uchumi Duniani huko Davos, amekaribisha wawekezaji wa nchi za nje nchini Zimbabwe, kwa lengo la kuchangia ukuaji wa uchumi wa nchi hiyo.
Rais Mnangagwa amesisitiza kuwa Zimbabwe iko wazi kwa nchi zote za kigeni na jukumu kuu kwa serikali ni kufufua uchumi, na kuahidi kupunguza vizuizi kwa wawekezaji kutoka nchi hizo.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni