Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini (CHADEMA) Joseph Mbilinyi 'Sugu'
amerudishwa rumande hadi Jumatatu ijayo ambapo kesi yake ya kutoa
matamshi ya uchochezi itaanza kusikilizwa mfululizo.
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini CHADEMA, Joseph Mbilinyi 'Sugu'
amerudishwa rumande hadi Jumatatu ijayo baada ya kukosa dhamana kufuatia
Kesi inayomkabili ya kutoa matamshi ya uchochezi itakayoanza
kusikilizwa mfululizo.
Hakimu Mkazi Mfadhiwi wa Mahakama ya Mkoa
wa Mbeya, amesema sababu ya mbunge huyo na mwenzake, Emmanuel Masonga
kunyimwa dhamana ni hofu ya huenda wasihudhurie mahakamani hapo mara kwa
mara watakapohitajika.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni