Kivumbi cha michuano ya #MapinduziCup2018 kuendelea tena leo kwa mechi moja kupigwa katika uwanja wa Amaan visiwani Zanzibar.
Je leo Zimamoto wataweza kuwazima Yanga? ni gemu itakayochezwa muda mzuri saa 2:15 usiku kupitia chaneli yenye bandika bandua za michezo
Je leo Zimamoto wataweza kuwazima Yanga? ni gemu itakayochezwa muda mzuri saa 2:15 usiku kupitia chaneli yenye bandika bandua za michezo
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni