Jumanne, 2 Januari 2018

JPM alivyofika kwenye msiba wa Mke wa Naibu Waziri Kangi Lugola

Leo January 2, 2018 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. John Pombe Magufuli amefika nyumbani kwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira, Kangi Lugola kumpa pole kufuatia kifo cha mke wake.
President Magufuli ametiasaini kitabu cha maombelezo nyumbani kwa Lugola. Mke wa Lugola, Mary Lugola alikuwa Kamishna Msaidizi wa Polisi.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni