Mji wa Sydney nchini Australia umekumbwa na hali ya kiwango cha juu
cha joto ambayo haijawahi kushuhudiwa kwa kipindi cha miaka 79 iliyopita
kwa kufikia nyuzi joto 47.3
Eneo la Penrith magharibi mwa Sydney
wenyeji walitafuta hifadhi katika baada ya maeneo ya mji huo uliokubwa
na kiwango hicho cha juu cha joto leo Jumapili.Viwango vya joto vimekaribia vile vilivyowahi kutokea mwaka 1938 vilivyofikia nyuzi joto 47.8.
Katika mashindano ya Kimataifa ya Tennis yanayoendelea katika mji wa
Sydney nayo yamelazimika kusimama kutokana na joto kali hilo lililozidi
nyuzi joto 40.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni