Jeshi la polisi mkoani humo limesema bado linaendelea kumshikilia msanii huyo na baada ya uchunguzi kukamilika atafikishwa mahakamani pamoja na washtakiwa wenzake.
Chid Benz alikamatwa December 30 mwaka jana, 2017 akiwa na mke wake na vijana wawili.
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni