Alhamisi, 21 Desemba 2017

UVCCM wacharuka wafunguka mazito

Image result for uvccm logo Mwenyekitiki wa Umoja wa Vijana CCM, Kheri James amewataka viongozi wote na wanachama wasio na maadili katika chama hicho kuhakikisha wanaondoka mara moja ili kupisha wenye maadili waweze kukiongoza Chama hicho kwa misingi ya kanuni na sheria.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni