Alhamisi, 21 Desemba 2017

Ukweli kuhusu umiliki wa TTCL kwa Airtel na Mtu asiyejulikana





Mwenyekiti wa Bodi ya  TTCL Bw. Omary Rashid Nundu amekanusha kuwa kampuni ya TTCL haiimiliki kampuni ya Airtel bali inamilikiwa na mbia pamoja na serikali. tofauti na taarifa ilivyozagaa kuwa wao wanamiliki asilimia 40 kwaniaba ya serikali.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni