Jumapili, 17 Desemba 2017

Mpira umemalizika: #CECAFA2017

Image may contain: text

 Mpira umemalizika: #CECAFA2017

Mabao mawili ya Saddam Juma yanaipa Uganda ushindi wa tatu wa michuano ya mwaka huu baada ya kuvuliwa ubingwa na Zanzibar.

FT: Burundi 1-2 Uganda.

Mchezo unaofuata LIVE kupitia Azam Sports 2 ni FAINALI: Kenya vs Zanzibar.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni