Ukiacha Kamati Kuu ya kuratibu michuano ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON U17/2019) kwa vijana wenye umri wa chini ya miaka 17, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limefanya uteuzi mwingine.
Uteuzi huo umeegemea zaidi kwa Wajumbe wa Kamati Kuu ya Maandalizi (LOC) wakiwamo viongozi wakuu wa TFF na wanafamilia wengine ambao kwa pamoja watafanya kazi ya kuandaa michuano hiyo itakayofanyika Tanzania mwaka 2019.
Wakati jina namba moja ni Mwenyekiti wa kila kamati ndogo wajumbe wengine katika kamati hizo ni kama ifuatavyo:
Miundombinu (Infrastructure)
- 1. Paul Makonda (Mwenyekiti)
- 2. Yusuph Singo
- 3. Sunday Kayuni
- 4. Leslie Liunda
- 5. Nassoro Idrissa
- 6. Mohamed Kiganja
- 7. Mhandisi Davis Shemangale
- 1. Kelvin Twissa (Mwenyekiti)
- 2. Angetile Osiah
- 3. Dk. Hassan Abbas
- 4. Dk. Omari Swaleh (Chuo Kikuu cha Mzumbe)
- 5. Iman Kajula
- 6. Tido Mhando
- 7. Head of Marketing – NMB
- 1. Doto James (Mwenyekiti)
- 2. Mohamed Dewji
- 3. Dk. Seif Muba
- 4. Bernard Lubogo
- 5. Paul Bilabaye
- 6. Jacquelline Woiso
- 7. Cornel Barnabas
- 1. Mhandisi Ladislaus Matindi (Mwenyekiti)
- 2. Abubakar Bakhresa
- 3. Aziz Abood
- 4. Alhaj. Ahmed Mgoyi
- 5. Mhe. Ahmed Shabiby
- 6. Dk. Maige Mwakasege Mwasimba
- 7. Shebe Machumani
- 1. Dkt. Khamis Kigwangala (Mwenyekiti)
- 2. Allan Kijazi
- 3. Devotha Mdachi
- 4. Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Temeke
- 5. Hoyce Temu
- 6. Leah Kihumbi (Mkurugenzi Sanaa)
- 7. Athuman Jumanne Nyamlani
- 1. Kamishna Mkuu wa Uhamiaji (Mwenyekiti)
- 2. Mndolwa Yusuph
- 3. Filbert Bayi
- 4. Mkurugenzi Uwanja wa Ndege JNIA
- 5. Happiness Luangisa
- 6. Alex Makoye Nkenyenge
- 7. Alhaji Idd Mshangama
- 1. Prof. Lawrence Museru (Mwenyekiti)
- 2. Dkt. Paul Marealle
- 3. Dkt. Edmund Ndalama
- 4. Dkt. Christina Luambano
- 5. Daktari Mkuu wa Hospitali ya Temeke
- 6. Hiiti Sillo
- 1. William Erio (Mwenyekiti)
- 2. Dk. Damas Ndumbaro
- 3. Edwin Kidifu
- 4. Ally Mayai
- 5. Khalid Abeid
- 1. IGP. Simon Siro (Mwenyekiti)
- 2. Michael Wambura
- 3. CP. Andengenye – Zimamoto
- 4. CP. Lazaro Mambosasa – Polisi Kanda ya Dar-es-Salaam
- 5. Mkuu wa Askari wa Usalama Barabarani.
- 6. TISS
- 7. Jonas Mahanga
- 1. Dk. Francis Michael (Mwenyekiti)
- 2. Allan Kijazi
- 3. Wane Mkisi
- 4. Juliana Yassoda
- 5. Gerald Mwanilwa
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni