Jumapili, 5 Novemba 2017

Wana wa ufalme wakamatwa Saudi Arabia

Saudi Crown Prince Mohammed bin Salman attends a conference in Riyadh, on October 24, 2017





Mawaziri 11 miongoni mwao wakikwa wana wa ufalme wameachichwa kazi na hata kuzuiliwa katika Mabadiliko makubwa yaliyotangazwa kwenye serikali ya Saudia.
Wengine wanaozuiliwa ni mawaziri wa zamani ambao wamehusishwa na kashfa za rushwa.
Haki miliki ya picha Reuters 


Mwengine aliyekematwa ni billionaire Prince Al-Waleed bin Talal.Katika hatua hiyo ambayo si ya kawaida inaelekea mwana mrithi wa mfalme Mohammed Bin Salman ambaye ndiye anaesimamia kitengo cha kupambana na ufisadi, anapania kujitenga na kuwadhibiti wapinzani wake wenye mamlaka makubwa nchini humo.


Miongoni mwa wanazuiliwa ni wana wa wafalme mmojawao ni mtoto wa marehemu mfalme Abdullah Prince Miteb aliyekuwa mkuu wa kitengo cha kikosi cha kiusalama National guard ambapo sasa amepokonywa wadhfa huo.

 Saudi Arabian Prince Miteb bin Abdullah at the Elysee Palace in Paris, 18 June 2014
Mwengine ni billionaire Prince Al-Waleed bin Talal.
Inaripotiwa kwamba hisa katika kampuni aliyoekeza huko uingereza iitwayo Kingdom Holding, zimeporomoka kutokana na hisia hizo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni